nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Ijapokuwa ndoa nyingi zimekuwa majanga, lakini zipo ambazo ni very fine!! hivyo hakuna sababu ya kuogopa vitu ambavyo binadamu wenzio wameweza.
What's wrong with being selfish?
Halafu how can you say somebody ambaye amekuwa charitable kama yeye kuanzisha projects kibao za kijamii, far and wide, kwamba ni selfish?
Wewe umefanya nini zaidi yake? Kama hujafanya basi na wewe ni selfish.
Tena ni selfish zaidi kwa kutaka Oprah aishi kama unavyotaka wewe, na si kama anavyotaka yeye.
Who is selfish now?
Lara 1 so u want to be lyke oprah,
Historia ya opra inasema yeye alizaliwa kweny familia maskn, na alivyokua bint mdogo aliwah kutendwa vibaya na wanaume, from that tym paka leo anawachukia wanaume..
Usimwige oprah..
Subiri mume wako atoke kwa bwana
Marriage is not for everybody.
Marriage is not for everybody.
The deeper message aliyotoa Oprah ni kwamba, ndoa has unrealistic expectations, na kama yeye angekuwa kaolewa na Steadman wangekuwa washaachana, kwa sababu ile change of status kuwa "mume" au "mke" inaleta change of expectations.
Sasa hivi hakuna expectations.
Kama umemsikiliza vizuri Oprah, kasema Steadmam angeanza kumfanyia zile za ki-mfumodume za "we mwanamke niletee chai hapa" not exactly in those words, sasa Oprah ndo anasema wangekosana.
Lakini sasa hivi wanaishi poa tu kwa sababu Steadman hawezi kutoa commands na demands za ajabu kwa sababu hawajaoana.
So kwangu mimi, tena kwa mifumo yetu, the more pertinment issue would be kwamba sitaki perks za ndoa kwa mwanamme more than kuogopa responsibilities.
Responsibility gani? Responsibility is my middle name, I eat it for lunch every weekday, why should I fear it?
I just don't subscribe to the entire idea of that institution.Too much hoopla for something that really should be between two people.Especially in our culture where we don't even have a word for eloping.
If there is one I don't know it.
How do you say "Let's elope" in Swahili? Or any tribal language?
bora wewe umesema kuna walio kwenye ndoa hapa JF, wanaona ambao hawajaolewa kama wamezungukwa na mikosi hivi, hawana bahati na bla bla kibao,
Kwa kisukuma="Kulehya'
Lakini naunga mkono hoja, kama hujisikii kuoa ama kuolewa ni bora kutofanya hivyo kwa kuhofia jamii inayokuzunguka. Maana ikitokea ukaoa halafu ukashindwa kukidhi matarajio ya jamii kwenye ndoa hiyo, utaishi kwa masimango zaidi, 'mwanamme suruali, halei watoto, katelekeza mke'. Kwa nini upae hayo yote? bora kutooa tu.