Opportunity of a lifetime


Thanks alot for the heads up...tayari nilishaanza CPA na nitafanya kuendeleza..
 
Thanks alot for the heads up...tayari nilishaanza CPA na nitafanya kuendeleza..

That will be an advantage to you, umebakiza paper ngapi? Kama ukijitahidi ukaziclear this November unajihakikishia kuongezwa mshahara January kwa utaratibu wao jinsi upo.

Kila la kheri, pale kuna watu kibao wa kukuguide kazi, wengi sana nakuhakikishia na hawana kinyongo, ukitaka kujua kazi utazijua tu.

Walikuwa na ki-slogan chao cha "We unlock your potentials"; It's real.
 

Sijafikia daraja hizo..ila nahitaji jua ni wapi hapo? Kwa Busara na Uzuri wao wafanyakazi wa hapo japo tuweze waombea Maombi mema kwa Mungu.
 
Hivi ni kwamba wewe ni mgeni wa lugha ya Kiswahili au huo Umombo unaokutiririka ni furaha ya kupata kazi...
 
Kaweke heshima bar au?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Basi hapo patakua na best working enviroment.Nimeenda huko leo na kila mtu amefurahi na wapo willing to help.The whole thing is a true description of proffesionalism.It is a dream come true.

nimefanya CPA ya kenya mpaka section2.nitaendeleza intermediate stage ya huku tanzania baada ya kuomba exemption kutoka kwa NBAA..asante mkubwa kwa hii info.
 

Conglats kijana, hope you manage.
 
Jobs are not in internets and pieces of papers as most of u guys want us to blive..thats slavery..jobs are within ourselves amd not with themselves..
What z ur favourite fud n drink u Ter
Terribly like my friend. Mkuu umenkonga nafsi.
 

Mimi na hon. yangu nimeamua kuwa mkulima kwa sasa nimeshaclear forest yenye ukubwa wa ekari 20 na mwaka huu nina mavuno ya mahindi ekari 10 na alizeti ekari tano. Jamani tunaweza achana stress za kutafuta ajira tukarudi shambani. I hope in the coming three years nitatangaza ajira za mafarm manager na vetenar officers. With all my prayers i will be someone tommorow.
 
Unapotea kijana tends za mamilion plus vyeo zinapatikana bar/lodge na hotels

It was those old days!! usijidanganye hakuna tajiri mlevi!! nitajie mmoja! now days who are u matter most! utaudhuria bar mwaka mzima but deal hutapata! By the way kila tajiri now dayz anaepuka kuajiri walevi!! Kiwango cha wanywaji nacho kinashuka!!
 
You are truly an inspiration to others, you deserve the best. Be blessed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…