Opportunities!!

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Jul 5, 2011
784
326
Habari wanajamii,

Kwa wale wapenda maendeleo na wapenda kujifunza, naomba niwakaribishe kwenye "presentation" itayofanyika leo jengo la Millenium towers dar es salaam. Hakuna kiingilio chochote na utapata kujifunza jinsi gani unaweza kupata kipato tena kizuri kwa kuhusisha ndugu, jamaa na marafiki wanaokuzunguka.

Njoo uone vijana wadogo wanaoingiza zaidi ya mil20 kwa mwezi jinsi wanavyojitolea kukufundisha jinsi gani unaweza kufanya biashara hii na ukapata mafanikio ndani ya muda mdogo sana. Njoo ujifunze kupata pesa ambayo ni halali na si ya wizi, ambayo itakufanya uishi kwa amani sana.

Ajira imekuwa ngumu sana na hata walioajiriwa maisha pia ni magumu. Njoo ujifunze jinsi gani unaweza kumiliki biashara yenye "capital" mdogo sana na kukufanya uache utegemezi wa ajira.

Njoo ujifunze. Acha uwoga wa kujaribu.

Muda: Saa 8.30 mpaka 10.00 mchana huu.
Niandikie ujumbe kama ungependa kuhudhuria ili nikupe maelekezo zaidi.

“I am often asked if Network Marketing is a Pyramid Scheme. My reply is that corporations really are pyramid schemes. A corporation has only one person at the top, generally the CEO, and everyone else below.” — Donald Trump, Entrepreneur and Author

“You will meet people who believe all network marketing opportunities are pyramid schemes. Why spend all your time trying to convince them otherwise when there are legions of people who are open to what you have?” -Randy Gage, Network Marketer, Trainer and Author

“If your business is not on the internet, then your business will be out of business.” — Bill Gates, Microsoft Founder
 
hivi utapeli huu bado upo tuu hapa bongo!!! nani awe machinga wa kuuza bidhaa za kipuuzi na kuwanufaisha nyie...!!!
hakuna lolote...wizi mtupu!!!!
 
Ukishaenda utaambiwa kuna ada ya uanachama ambayo si chini ya laki moja(wengi hutaja sh laki moja)
 
ukitaka kumnyima kitu muafrika weka kwenye maandishi. wanasema no research, no right to speak.

nyie watu wazima mmefanya research mkagundua kama network marketing is selling products barabarani?? unge'attend one of the workshops kujua kama ni hivo unavosema.

this is marketing not sales, ni biashara ambayo inakua kwa kasi sana. soma vitabu na articles kwenye internt uone wajanja wanavotumia opportunities kama hizi kutajirika. tatizo ukifungua internet ni unafungua facebook, jamii then unamaliza kuangalia porn.

kampuni ya forever livings products ni kampuni ya network markeing ya 6 kwa ukubwa duniani with sales of up to $3Bil kwa mwaka. Kwa Tanzania, imekuwa ya tatu wilaya ya temeke kwa ulipaji kodi (nenda TRA kaulize) na kwa nchi ya Brazil inaongoza kwa ulipaji kodi, alafu nyie mnasema UTAPELI. shauri yenu, watu wanatajirika nyie mnakazana kukatisha watu tamaa tu.

ndo mana wanasema knowledge is power. utaikumbuka hii thread in the future.
 
kwa yeyote atayependa kujifunza kuhusu biashara hii tafadhali niandikie private message tukutane.

please note, you are not forced kujiunga, ni uamuzi wako tu. sisi tunakupa elimu na wewe unafanya uamuzi. mafunzo ni BURE, yako so informal na ni ya muda mfupi sana, saa moja mpaka mawili. Karibu
 
ukitaka kumnyima kitu muafrika weka kwenye maandishi. wanasema no research, no right to speak.

nyie watu wazima mmefanya research mkagundua kama network marketing is selling products barabarani?? unge'attend one of the workshops kujua kama ni hivo unavosema.

this is marketing not sales, ni biashara ambayo inakua kwa kasi sana. soma vitabu na articles kwenye internt uone wajanja wanavotumia opportunities kama hizi kutajirika. tatizo ukifungua internet ni unafungua facebook, jamii then unamaliza kuangalia porn.

kampuni ya forever livings products ni kampuni ya network markeing ya 6 kwa ukubwa duniani with sales of up to $3Bil kwa mwaka. Kwa Tanzania, imekuwa ya tatu wilaya ya temeke kwa ulipaji kodi (nenda TRA kaulize) na kwa nchi ya Brazil inaongoza kwa ulipaji kodi, alafu nyie mnasema UTAPELI. shauri yenu, watu wanatajirika nyie mnakazana kukatisha watu tamaa tu.

ndo mana wanasema knowledge is power. utaikumbuka hii thread in the future.
ponzi ponzi ponzi..
 
I don't see any issue with making money through pyramid schemes, i mean, if you stick to your belief and dwell on the money making then you should be ok. this is just is a new form of marketing, eventually most big companies will do this. its a cost effective way of running a marketing department.

Its always common that,
"If people don't understand something financially, they call it a pyramid scheme.
If they don't understand something within the government, they call it a conspiracy theory."

These kind of structures are everywere, they have just been transformed during this century. In corporate companies, CEO gets the most income and it goes down where a level below works more and gets paid lesser than a level above. People who are producers down in the bottom of the structure get paid the least.





ponzi ponzi ponzi..
 
I don't see any issue with making money through pyramid schemes, i mean, if you stick to your belief and dwell on the money making then you should be ok. this is just is a new form of marketing, eventually most big companies will do this. its a cost effective way of running a marketing department.

Its always common that,
"If people don't understand something financially, they call it a pyramid scheme.
If they don't understand something within the government, they call it a conspiracy theory."

These kind of structures are everywere, they have just been transformed during this century. In corporate companies, CEO gets the most income and it goes down where a level below works more and gets paid lesser than a level above. People who are producers down in the bottom of the structure get paid the least.
mara unasema sio pyramid mara unasema it is, na it is ok?! pyramid scheme ni uizi tu na hakuna utetezi wa maana wa kumdanganya mtu aliyefuta ujinga na kuijua pyramid inabebaje mzigo wake. DECI ilikua ni pesa as a parameter na mtu aliyekua chini ya pyramid muulize atakwambia dharba yake, sasa nyie mnaleta biashara zenu za kamisheni ambapo bidhaa ndio parameter, it is the same sh!t different toilets, maana mtu wa mwisho kwene pyramid atakuta hana pa kuuza anadodewa na mabidhaa yake na ndio inakua pyramid imekanilika. sdanganyiki!
 
Ni ngumu kuelimisha mtu kama wewe unaye'compare DECI na kampuni iliyoanza toka mwaka 1978 inayofanya kazi hizi hizi zaidi ya nchi 153 duniani. Na mtu unayeamini ipo siku network itajaa na kutakosekana mtu duniani wa ku'network naye, so funny. Yani nchi zote hizo hawajaona ila wewe tu wa humu jamii ndo umeona ni utapeli. Kwahiyo inabidi basi nimsikitikie Obama kwa kutembelea ofisi za matapeli. Obama visits FLP.jpg

Somaaaaaaa, acha uvivu. Ukisoma utajua mengi sana ndugu yangu.


mara unasema sio pyramid mara unasema it is, na it is ok?! pyramid scheme ni uizi tu na hakuna utetezi wa maana wa kumdanganya mtu aliyefuta ujinga na kuijua pyramid inabebaje mzigo wake. DECI ilikua ni pesa as a parameter na mtu aliyekua chini ya pyramid muulize atakwambia dharba yake, sasa nyie mnaleta biashara zenu za kamisheni ambapo bidhaa ndio parameter, it is the same sh!t different toilets, maana mtu wa mwisho kwene pyramid atakuta hana pa kuuza anadodewa na mabidhaa yake na ndio inakua pyramid imekanilika. sdanganyiki!
 
Ni ngumu kuelimisha mtu kama wewe unaye'compare DECI na kampuni iliyoanza toka mwaka 1978 inayofanya kazi hizi hizi zaidi ya nchi 153 duniani. Na mtu unayeamini ipo siku network itajaa na kutakosekana mtu duniani wa ku'network naye, so funny. Yani nchi zote hizo hawajaona ila wewe tu wa humu jamii ndo umeona ni utapeli. Kwahiyo inabidi basi nimsikitikie Obama kwa kutembelea ofisi za matapeli.View attachment 57835

Somaaaaaaa, acha uvivu. Ukisoma utajua mengi sana ndugu yangu.
Ngedele,
Sasa nisome nini tena? kama unaona maelezo yangu yana makosa, yasahihishe na kunionesha wapi nimekosea na kwa nini..maana kitu kuwa cha tangia 1978 inaeza kumaanisha ukomavu au ukuukuu, Kutembelewa na Obama sio ishu vilevile maana huezi jua pengine naye yupo juu ya hiyo pyramid..so stick kwene dondoo..
 
I picked this somewhere just FYI...huu ni mfano wa kinachofanywa in Tanzania na kwengine duniani na GNLD, Tianshi, Edmark, Forever Living Products, QN and the like (ambazo kwako ni utapeli)

Q: Some friends continue to try to recruit me into network marketing deals that seem like some type of money game or pyramid. Other friends tell me they're illegal and I'll get into trouble. How do I know what's legal and legitimate?

A: To help you understand what network marketing is, I must first explain what it isn't. First, network marketing isn't a pyramid scheme. Pyramids are programs similar to chain letters where people just invest money based on the promise that other people will put in money that will filtrate back to them and somehow, they'll get rich. A pyramid is strictly a money game and has no basis in real commerce. Normally, there's no product involved at all, just money changing hands.

Modern-day pyramids
may have a product, but it's clearly there just to disguise the money game.
Network marketing is a legitimate business. First, it's based on providing people with real, legitimate products they need and want at a fair price. While some people do make a lot of money through network marketing, their financial benefit is always the result of their own dedicated efforts in building an organization that sells real products and services.

Pyramids are illegal and are based on taking advantage of people. For a person to actually make money in a pyramid scheme, someone else has to lose money. But in network marketing, each person can multiply his or her efforts, skills and talents by helping others be successful. Network marketing has proved itself as part of the new economy and a preferred way to do business here and around the world.

Network marketing isn't about taking advantage of your friends and relatives. Only a few years ago, network marketing meant retailing to, and sponsoring people from, your "warm list" of prospects. Although sharing the products or services and the opportunity with people you know is still the basic foundation of the business, today we see more people using sophisticated marketing techniques such as the Internet, conference calling and other long-distance sponsoring techniques to extend their network across the country.

Network marketing isn't a get-rich-quick scheme. Of course some people do make large amounts of money very quickly. Many would say those people are lucky. But success in networking isn't based on luck. (Unfortunately, money won't sprout wings and fly into your bank account no matter what someone has promised you.) Success in network marketing is based on following some very basic yet dynamic principles.

Now let's discuss what network marketing is. Network marketing is a serious business for serious people. It's a proven system where the design, creation and expense the corporate team has gone through becomes a road map for your own success. Just follow the simple, proven and duplicable system that the good companies provide.

The real key is this: Network marketing is all about leverage. You can leverage your time and increase the number of hours of work effort on which you can be paid by sponsoring other people and earning a small income on their efforts. J. Paul Getty, who created one of the world's greatest fortunes, said "I would rather make 1 percent on the efforts of 100 people than 100 percent on my own efforts." This very basic concept is the cornerstone of network marketing.
For example, most successful people building a network marketing business do so in an organized method. They work a few dedicated hours each week, with each hour of effort serving as a building block for their long-term business growth. Then they sponsor other people and teach those people how to sell the company product and sponsor others who duplicate the process.

By helping the people you personally sponsor to sponsor others, you duplicate yourself. As this process continues, you create compound growth that can lead to hundreds or even thousands of people coming into your business. You leverage your time by helping others be successful and earn an income from all their efforts.

With network marketing, there are no big capital requirements, no geographical limitations, no minimum quotas required and no special education or skills needed. Network marketing is a low-overhead, homebased business that can actually offer many of the tax advantages associated with owning your own business. Network marketing is a people-to-people business that can significantly expand your circle of friends. It's a business that enables you to travel and have fun as well as enjoy the lifestyle that extra income can provide.
 
"I am often asked if Network Marketing is a Pyramid Scheme. My reply is that corporations really are pyramid schemes. A corporation has only one person at the top, generally the CEO, and everyone else below." - Donald Trump, Entrepreneur and Author

"You will meet people who believe all network marketing opportunities are pyramid schemes. Why spend all your time trying to convince them otherwise when there are legions of people who are open to what you have?" -Randy Gage, Network Marketer, Trainer and Author

"If your business is not on the internet, then your business will be out of business." - Bill Gates, Microsoft Founder
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom