Opportunist Mrisho Mpoto

Shekidee

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
15
Reaction score
13
Kwelii kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake.

YAani huyu jamaa alivyokuwa anatoka nilimheshimu na nilikuwa namkubali saanaa.
Heshima yangu ilianza kupotea kwake baada kuanza kutumika na serikali ili kumpunguza makali.

SAsa amejidharaulisha wazi kwa jamii kwa kujionyesha mchumia tumbo, mwanzo alikuwa kwa sitta, baadae kuona sitta katiba mpya imemkaanga akahamia kwa membe, sasa ameona upepo wote umehamia kwa lowassa ameamua kuhamia huko huko.

Niliona video ya maneno yale yale aliyoyaongea kwa sitta ndio hayo hayo kayarudia kwa mhe lowassa, jiandae for your downfallcoz wananchi washakudharau na huaminiki tena.
 
Kama utamlinganisha huyu jamaa kama mwenye kutafuta kipato kama wale wa tasnia ya uwakili then hutomtwisha zigo lote hilo.
 
Kuna wasanii wengi wameanguka kwa kushabikia uovu, jambo jema ni kwamba kununua kazi ya msanii sio sawa na kupiga kura.
 
Muache Mjomba bhana

Kama huko kudharau utamdharau wewe na sio wananchi kama unavyotaka kujikombakomba...mxhiiiiii! Kwa utafiti gani au hayo maoni ya wananchi umeyapata wapi au lini walikuagiza ukatume salaam....kwenda zako uko!

Watu wanaacha wake na kuoa wengine ije kua mgombea uraisi?? wee ---- kweli, ulitaka abakie kwa huyohuyo mmoja kwani kamzaa yeye?? Fisiiii......
 
Yule jamaa bure kabisa. Njaa inamtesa sana na ni mnafiki wa kupindukia.
 
Tz wasanii ubongo mdogo sana, am very sory too for this plain truth.
 
Hivi huyu anaimba au anakuwa anaongea ongea tu
 
Sasa wew unatakaje
kila mtu anangalia maslahi yake mfano kuwepo kwa propaganda za ccm wapo wanaonufaika nayo na hivo hivo propaganda za CHadema wapo wanaonufaika nayo .
 
kwa kumchagua Lowassa siwez mlaumu maana Lowassa ndiye mtu pekee mwenye uelekeo kwenye kinyang'anyiro cha urais. Kama amekaa akagundua hilo ni jambo jema kabisa. unataka aende kwa nani aliyepinda? au maembe? hamna watu hapo hayo ni magalasa tu ambayo watanzania wameshayashtukia na wala hawawez kuhangaika nayo. EDWARD LOWASSA NDIYE RAIS TUMTAKAYE. IWE KWA HERI AU KWA SHALI NDIYE TUTAKAYE MPITISHA KTK URAIS.
 
Huyu mtembea peku alishatangaza nia kugombea ubunge
 
Shida kubwa ya wasanii WENGI ni kuangalia fursa iko wapi waitumie hata ikiwa kwa Ibilisi wataenda hukohuko kuifuata fursa ndiyo maana wanakosa msimamo wa kusimamia wanachoamini, leo anasema hivi kesho vile, leo anakosoa hiki kesho anakipongeza hichohicho(siongelei mtu hapa naongelea watu), hakuna kitu kibaya kama kujipendekeza kwa wakuu na watawala wa dunia maana utakuwa umechagua kushiriki udhalimu wao, nabii Eliya alishindana na mfalme Ahabu, Yohana mbatizaji wa Yordani alimkosoa mfalme Herode kwa kumuoa mke wa ndugu yake mpaka jambo hilo likafikia Yohana kukatwa kichwa, lakini leo tunaona wanafiki wakubwa wanaojiita 'waimbaji wa Injili na wachungaji' na 'viongozi wa dini' mbalimbali wakijipendekeza kwa viongozi wa kisiasa kwa ajili ya matumbo yao mpaka wameshindwa kukemea maovu yanayofanywa na watawala, ".....Watu wengi hutafuta upendeleo wa mkuu bali hukumu ya kila mtu hutoka kwa BWANA(Mungu)....."-MITHALI 29:26
 
Alishawahi kupewa mualiko na wa kenya huko canada, kwenye speech akasema mlima kilimanjaro upo kenya.

Mkuu Ya Ukweli Haya?Sasa Msanii Asiyekua Na Consistancy Wa Nn? Hawa Ni Wasanii Ambao Walikua Na Maisha Magum Zamani Kukutana Pesa Tu Ulimbukeni Huwakamata Hawa Hufa Kifani Haraka Sana Wakosapo Pesa.Muwajarib Kina AY Bas Muipate Fresh.
 
LOWASSA ANASWA LIVE NA KAMERA AKITOA TSHS 50 MILLIONI, HUKU AKIAHIDI KUKAMILISHA MILIONI 500 ENDAPO KAZI YAKE ITAKUWA NZURI.

Taarifa zisizo na shaka ni kuwa
Makaonda alimtumia Mrisho Mpoto
katika mtego wake huo,Mpoto
aliufanikisha mtego huo pahala
alipopanga kuonana na Bwana
Lowasa kusalimia, kulikuwa na
camera maalumu zilizotegwa kwa
juu, alimsalimu na
kumuimbia mashairi Lowasa
ambayo yalimfanya Mh Lowasa
kufurahi na kucheka baada ya
kusifiwa na mashairi hayo.

Walikaa mezani na alimpa mpoto
milioni 50 hapo hapo akitaka
atunge wimbo nakubadilisha
mashairi ya kumsifia Mzee Sitta
na badala yake pamoja na wimbo
wa Mjomba uwe ukimsifia yeye
Lowasa,alimwambia kuwa ata mpa
milioni 500 endapo kazi hiyo
itakuwa nzuri na akiendeleea
kushirikiana nae katika safari
yake ya kwenda ikulu

Mara baada ya mazungumzo hayo
Mpoto alishtushwa sana na
kupigiwa simu na watu wengi sana
wakimlaumu kuwa anatumika
kisiasa na wana siasa na
kutumiwa kipande cha vidio
akimchekesha mfalme ili apate
kula

Tangu hapo Mrisho amekuwa
akilalamika sana kwanini
alirekodiwa bila yeye kujua na
kwa kamera ambayo ilikuwa
imefungwa juu ? na baada ya
kuonyeshwa kipande kizima cha
vidio hadi akipokea kiasi hicho cha
milioni 50,

Mpoto ameumia sana
amerejesha fedha zote akisema
hawezi shiriki rushwa na tayari
fedha hizo anazo Makonda ambapo
atazikabidhisha kwa kamati ya
maadili ya CCM pamoja na
ushahidi huo wa vidio

MAKONDA AMEPANGA KUWEKA
KILA KITU HADHARANI HIVI
KARIBUNI KUTHIBITISHA MANENO
YAKE YA AWALI MWAKA JANA
KUWA MH LOWASA AMEKUWA
AKIHONGA WATU MAMILIONI NA
KUKIHARIBIA CHAMA SIFA
KIKIONEKANA KUWA NI CHAMA
CHA MAPESA KWENDA IKULU na
kwakuona kipande chote cha vidio
ambayo Mpoto anachukua milioni
50.

mara
baada ya makonda kuzungumza na
wanahabari akikabidhi pesa hizo
kwa Mzee Mangula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…