Oppo R11 plus

mkuu ni simu nzuri sana hio soc yake ya snapdragon 660 ni nzuri sana kwa simu za mwaka huu, ila angalia na bei.

kama bei yake inafikia oneplus 5 basi op5 ni simu nzuri zaidi ila ikiwa chini ya hapo huwezi pata simu yenye nguvu kushinda hio.
 
mkuu ni simu nzuri sana hio soc yake ya snapdragon 660 ni nzuri sana kwa simu za mwaka huu, ila angalia na bei.

kama bei yake inafikia oneplus 5 basi op5 ni simu nzuri zaidi ila ikiwa chini ya hapo huwezi pata simu yenye nguvu kushinda hio.

Upo sahihi mkuu...nina week mbili sasa tangu nikamate oneplus 5 64GB.....hii machine ni hatari sana. Ali wanaisukuma kwa $507 including shipping to TZ.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…