Makamanda tuko Hanang na siku ya Leo tumefanikiwa kufanya mikutano miwili kata ya Giting na kata ya Masikaroda na tumefanikiwa kupata wanachama wa ya waliorudisha kadi za CCM na kukabidhiwa kadi za CHADEMA,wanachama wapatao mia 300,mapambano bado yanaendelea mzidi kutuombea,muwe tayari wakati unaofaa na wakati usifaa,,