naunga mkono hoja,operesheni okoa italeta mtizamo mzuri bila kuhitaji ufafanuzi kuliko operesheni chukua! Tunakosoa kwa lengo jema maana bado haijawa kauli mbinu rasmi.viongozi wetu ni wasikivu mkuu
Aisee ingawa mimi nilikuwa mmoja waliokuwa wakiunga mkono Operesheni Chuku Igunga, mpaka nikaamua kupendekeza kifupi cha OCI, naiona hoja ya wazi katika pendekezo lako hili kamanda. I loved it. Inaweza kufikiriwa na wahusika nafikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.