Zingukia maeneo ya migodi huko geita, backreef, nyanzaga, maeneo ya miradi inayojengwa madaraja, hasa kwa wachina wale jamaa ukishika machine wakaona unajua na wana uhitaji unachukuliwa.....ila ndo ukaze roho wachina wajanja wajanja kwenye malipo na mikataba ya kueleweka hawatoi....lakink from there mambo yataanza kufunguka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.