Obed maagi Member Joined May 24, 2024 Posts 30 Reaction score 35 Mar 17, 2025 #21 sixlove said: Asante kwa ushauri mkuu. Nimeshafatilia pia kuhusu operator courses VETA shinyanga, ambako ndio nimeambiwa pia wana mitambo ya kutosha. As well as Kunduchi pia wanafundisha though kwenyewe nimeambiwa vifaa vyao ni vya kawaida compared na Shinyanga. Click to expand... Mkuu naweza kupata mawasiliano yako kama ulifanikiwa kupata taarifa au kujiunga na Veta Shinyanga.
sixlove said: Asante kwa ushauri mkuu. Nimeshafatilia pia kuhusu operator courses VETA shinyanga, ambako ndio nimeambiwa pia wana mitambo ya kutosha. As well as Kunduchi pia wanafundisha though kwenyewe nimeambiwa vifaa vyao ni vya kawaida compared na Shinyanga. Click to expand... Mkuu naweza kupata mawasiliano yako kama ulifanikiwa kupata taarifa au kujiunga na Veta Shinyanga.