Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 478
Jana tukiwa Kisesa tumekamilisha jumla ya mikutano mia moja na saba tangu kuanza kwake,mafanikio ni makubwa sana kwa maana kwamba tumevuna maelfu ya wanachama na tumeimarisha chama kwa maana ya uongozi kuanzia ngazi ya chini kabisa yaani misingi.
Leo tuko jimbo la Kishapu na mapambano yanasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Tuombeeni,mtandao ukitulia nitawarushieni picha kuonyesha jinsi magamba yanavyoteketea...nakishukuru chama changu cha chadema kwa kuniamini na kunipa fursa hii adimu,nilitamani siku zote kuwa THE VOICE OF THE VOICELESS ...nawasilisha.
Leo tuko jimbo la Kishapu na mapambano yanasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Tuombeeni,mtandao ukitulia nitawarushieni picha kuonyesha jinsi magamba yanavyoteketea...nakishukuru chama changu cha chadema kwa kuniamini na kunipa fursa hii adimu,nilitamani siku zote kuwa THE VOICE OF THE VOICELESS ...nawasilisha.