Operation kula Mbaazi


Zikipikwa vizuri ni tamu sana, tena unaweza ukatamani ule kila Siku hasa Kwa wali wa nazi! Kuna namna ya kuzipika ili ziwe Kwenye radha Yake ya asili, tena zikichemshwa Kwa Maji kidogo kidogo na chumvi kiasi na kukatia kitunguu na nyanya kipande nusu Kwa mbali yani Hata usipoweka mafuta ya kupikia wala chochote Kwa wali ni tamu sipati kukwambia!
 
Kahamasishe ziliwe pale karibu na feri.
Itawasaidia kutengeneza dawa ya mbu natural.
 
Ntanunua nijaribu kwa maelekezo haya. kila siku sokoni huwa naona vitu visivyo faaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…