Opera Heist: Uhalifu Uliokamilika

Pls naomba unitag. Kiufupi hao vijana hawana kesi yoyote ya kujibu maana hao CBI ndo walifanya uzembe mkubwa, inakuwaje jamaa atangaze kazi feck ambayo ni sensitive bila kushtukiwa?
Hahahaa mkuu kwenye kazi hakuweka kuwa inahusiana na CBI hiyo alikuja kuwatonya wakati akiwafanyia usahili
 
Reactions: BRB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…