Wanadahili wanafunzi kwa ngazi ya degree direct chuoni bila kupitia tcu mbona hii wizara ya elimu siielewi msimamo wake ??open siwaelewi kabisa naona kama watu wanaliwa bure
Hata, sio matapeli hata kidogo, na ndio maana hakuna wanafunzi wanaoomba TCU afu wakapelekwa OUT. Kwahiyo ni lazima kuomba dilect kulingana na dhamira yako ya kusomea distant
Hata, sio matapeli hata kidogo, na ndio maana hakuna wanafunzi wanaoomba TCU afu wakapelekwa OUT. Kwahiyo ni lazima kuomba dilect kulingana na dhamira yako ya kusomea distant
Hata, sio matapeli hata kidogo, na ndio maana hakuna wanafunzi wanaoomba TCU afu wakapelekwa OUT. Kwahiyo ni lazima kuomba dilect kulingana na dhamira yako ya kusomea distant
kuorodheshwa sio tatizo, mi nimeongelea kama alivyouliza mleta mada kuwa anatakiwa ku-apply moja kwa moja OUT na sio kupitia TCU. mean akikubaliwa OUT taarifa zake zitapelekwa TCU.
kuorodheshwa sio tatizo, mi nimeongelea kama alivyouliza mleta mada kuwa anatakiwa ku-apply moja kwa moja OUT na sio kupitia TCU. mean akikubaliwa OUT taarifa zake zitapelekwa TCU.