Open University wanadanganya Umma au?

Open University wanadanganya Umma au?

NANGA WA KWATA

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
346
Reaction score
232
HIVI NI SAHIHI KUAPPLY DIRECT DEGREE CHUONI KAMA WANAVYOFANYA OPEN UNIVERSITY KWA MWAKA HUU AU NI WEZI??
 
duu,vp higher dip naweza apply nina certificate ya primary teaching,then nina div 3 ya point 16
 
HIVI NI SAHIHI KUAPPLY DIRECT DEGREE CHUONI KAMA WANAVYOFANYA OPEN UNIVERSITY KWA MWAKA HUU AU NI WEZI??
Ikiwa ni wezi na wewe mpuuzi wao.
TCU anachofanya ni kupangia wanafunzi chuo na si kudahili, UDSM wakisema hawakutaki basi TCU hana la kusema.
Ila ndo ivo FORM 6 kila wakiongezeka na wapuuzi wanaongezeka.
Open University wanadahili kama chuo na kuthibitishwa na TCU na kama ulivosema si wezi.
 
Ikiwa ni wezi na wewe mpuuzi wao.
TCU anachofanya ni kupangia wanafunzi chuo na si kudahili, UDSM wakisema hawakutaki basi TCU hana la kusema.
Ila ndo ivo FORM 6 kila wakiongezeka na wapuuzi wanaongezeka.
Open University wanadahili kama chuo na kuthibitishwa na TCU na kama ulivosema si wezi.
umeongea logic
 
Back
Top Bottom