Mm biafra nayo imenisikitisha tumecheza sana ndondo pale,team care,super tanker,back wizard,5 star wote tulikuwa tunacheza tunakipigaYaani pale drive in pageuke kuwa kiwanja Cha watu ila imenisikitisha Sana Tulikuwa tunacheza mpira pale
Hahaha napajua Sana, washenzi wale.Nafikiri ni nchi nzima,Kahama palikuwepo na basketball court kule Nyahanga mtaa wa uzunguni hadi mashindano ya basketball ngazi ya mkoa fainali zilifanyika pale ila kwa sasa pana ghorofa pale.
Pote pamenigusa hapo Biafra palikuwa ndio uwanja kama wa nyumbaniMm biafra nayo imenisikitisha tumecheza sana ndondo pale,team care,super tanker,back wizard,5 star wote tulikuwa tunacheza tunakipiga
Ova
Nyumbani kule mafere,nyuma ya mango garden kuna uwanja ambao tunafanyaga mazoezi walikujaga wachina na watu wa manispa walitaka kuweka vifaa vyao na kumwaga vifusi mbn palichimbikaPote pamenigusa hapo Biafra palikuwa ndio uwanja kama wa nyumbani
Enzi hizo beki kitasa wa black wizard ya block 41Pote pamenigusa hapo Biafra palikuwa ndio uwanja kama wa nyumbani