MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,754
- 48,651
Yani hawa bora wamejengewa banda lao huku ..wangeachiwa wapuyange kila kona ya jf ingekua majanga
Hehehe hiyo kweli, maana Wakenya ambao hupost humu kwa wastani ni watatu kwa siku lakini mnababaika utadhani KOT yote imehamia huku.