Only in Tanzania

yaani tunalipa kodi ili walipwe mshahara mwisho wa mwezi kwa kutufanyia kazi walipa kodi tunaowapa mishahara lakini badala ya kututumikia wanaenda kusukuma magari ya wanaotuibia, huku wanashindwa kutupa umeme, madini wanaacha yanaenda kwa wazungu kwa bei karibu na zero, ama kweli ndo akili za 'masaburi'
 

Kuna mtumwa akaacha asili yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…