Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,762
- 5,276
Hii taswira inaonyesha mentality ya kunyenyekea (subservience) ya Mwafrika wa kawaida wa Kitanzania. Ni utaahira usiyo kifani ambao nadhani unatokana na jadi potofu za Watanzania wengi kutii mamlaka iwe baba, mama, mchungaji, padri, sheikh, chifu hadi rais blindly bila kujali kwamba wana makosa au kasoro zilizo wazi.
jamani huu si ulikuwa muda wa kazi ? napendekeza wote hawa wakatwe mshahara wa siku hiyo na kupewa onyo kali na sisi waajiri wao,sidhani kuna hata mmoja wao ambaye job description yake ina-include kusukuma gari TENA ZIMA.
hawa baadaye utawasikia wakidai eti kuna manyanyaso kazini!!! Watu ni wa hovyo sana!!! Au ndio kujipendekeza!!!!
hii taswira inaonyesha mentality ya kunyenyekea (subservience) ya mwafrika wa kawaida wa kitanzania. Ni utaahira usiyo kifani ambao nadhani unatokana na jadi potofu za watanzania wengi kutii mamlaka iwe baba, mama, mchungaji, padri, sheikh, chifu hadi rais blindly bila kujali kwamba wana makosa au kasoro zilizo wazi.
jamani huu si ulikuwa muda wa kazi ? napendekeza wote hawa wakatwe mshahara wa siku hiyo na kupewa onyo kali na sisi waajiri wao,sidhani kuna hata mmoja wao ambaye job description yake ina-include kusukuma gari TENA ZIMA.
Hii taswira inaonyesha mentality ya kunyenyekea (subservience) ya Mwafrika wa kawaida wa Kitanzania. Ni utaahira usiyo kifani ambao nadhani unatokana na jadi potofu za Watanzania wengi kutii mamlaka iwe baba, mama, mchungaji, padri, sheikh, chifu hadi rais blindly bila kujali kwamba wana makosa au kasoro zilizo wazi.