Mjasiriamali M
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 142
- 69
Habari za Leo Wana ndugu, Nipenda kutoa taarifa ya Uwepo wa nafasi za kazi za muda maalum (Part Time) za Data Entry online. Hii inawahusu wale wote ambao wana Access ya Computer majumbani kwao lakini hawajapata kazi ya kudumu ya kufanya. Wahitimu wa kidato cha nne Hadi 6, itawafaa zaid, na wa chuo kama hautojali maana malipo si makubwa sana. Umri ni kuanzia miaka 18 +. Nna hitaji watu wa kunisaidia kuniingizia Data kwenye system kwa kipindi cha Miezi 3. Kitu cha lazima ni kuwa na Computer na Modem (Bundle ntakuwa nakuwekea Mimi). Mengineyo ni Kama Ifuatavyo:-
Location - Any where in Tanzania
Ujuzi:- Form 4 hadi 6 + Computer( Internet na Email)
Muda wa Kazi:- 4 to 6 hours daily.
Mazingira: Nyumbani Kwako
Vitu vya kuwa navyo:- Computer na Modem.
Call me au text me on 0687 458 830 au 0719 44 72 04. kwa maelekezo zaidi. Tuma Email kwenda mutchoh@gmail.com,
Location - Any where in Tanzania
Ujuzi:- Form 4 hadi 6 + Computer( Internet na Email)
Muda wa Kazi:- 4 to 6 hours daily.
Mazingira: Nyumbani Kwako
Vitu vya kuwa navyo:- Computer na Modem.
Call me au text me on 0687 458 830 au 0719 44 72 04. kwa maelekezo zaidi. Tuma Email kwenda mutchoh@gmail.com,