Online Data Entry - Part Time- 2 post

Mjasiriamali M

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
142
Reaction score
69
Habari za Leo Wana ndugu, Nipenda kutoa taarifa ya Uwepo wa nafasi za kazi za muda maalum (Part Time) za Data Entry online. Hii inawahusu wale wote ambao wana Access ya Computer majumbani kwao lakini hawajapata kazi ya kudumu ya kufanya. Wahitimu wa kidato cha nne Hadi 6, itawafaa zaid, na wa chuo kama hautojali maana malipo si makubwa sana. Umri ni kuanzia miaka 18 +. Nna hitaji watu wa kunisaidia kuniingizia Data kwenye system kwa kipindi cha Miezi 3. Kitu cha lazima ni kuwa na Computer na Modem (Bundle ntakuwa nakuwekea Mimi). Mengineyo ni Kama Ifuatavyo:-

Location - Any where in Tanzania
Ujuzi:- Form 4 hadi 6 + Computer( Internet na Email)
Muda wa Kazi:- 4 to 6 hours daily.
Mazingira: Nyumbani Kwako
Vitu vya kuwa navyo:- Computer na Modem.

Call me au text me on 0687 458 830 au 0719 44 72 04. kwa maelekezo zaidi. Tuma Email kwenda mutchoh@gmail.com,
 
Kwa wale waiotake time kunicheki nami nimejitahidi kuwajibu kwa kadri ya uwezo, kesho tukijaaliwa ntakutana na wadau wengine kama watatu, nb Hassan, Dada wa Data Entry na wa Kuvulonteer. Na wengine ambao wapo interested plz send your details through that e mail kama hamtajali. Samahani kwa kuwakwaza baadhi ya wadau hapa.
 
liljustine21 yule "dada" zinamfaa hizi nafasi,muunganishe
 
Last edited by a moderator:
Naomba nitoe shukrani kwa woote walio show interest kuhusiana na post ya leo. Kwa kuwa wengi wamekuwa wakiulizia kuhusiana na malipo yapoje, jamani ndugu zangu hii ni kazi ya muda ya ziada na ya muda mfupi, sasa basi kama unahisi utaweza kufanya kwa masaa mawili au matatu per day na ukapata Allowance ya Laki 1, na Elfu 10 ya Vocha/Bundle tafadhali endelea na kunitumia e mail nami ntachukua muda kuzisoma na kufuatilia zaidi kwani hata wakipatikana watu watatu itakuwa poa zaidi. Wakike 1 na wakiume wawili preferably au kinyume na hapo. Natanguliza Shukrani.
 

Hio Laki 1 ni kwa masaaa mawiliii? Au ndioo kutuchosha
 
Hio Laki 1 ni kwa masaaa mawiliii? Au ndioo kutuchosha

Mkuu Denjo nahisi Mungu kakujaalia una kazi nzuri na upo kwenye nafasi nzuri, Mshukuru sana kwa hilo maana mimi ni miongoni mwa Watanzania wengi tunao hangaika kila kukicha tukitafuta hata kazi ya kujitolea ili kukuza uzoefu na kujazia cv zetu hasa ukizingatia ni muda mrefu umepita tangu tutoke vyuoni.

Kweli kazi hii inaweza kuwa ngumu, ila kwa wachache ambao wapo Determined na wanajua ni Ugumu gani wanakutana nao kwa kukosa hata kibarua cha Wahindi cha kulipwa Elfu 80 kwa mwezi, manyanyaso gani gani wananayapata just bcoz they are un employed after spending so many years shuleni na bado Mungu Hajawapa kitu Yet Watakuwa nami katika hichi kidogo tunachojaribu kugawana. Naomba Radhi tena kwa wale ntakaokuwa nawakwaza katika Hili. Asubuhi Njema.
 
Last edited by a moderator:
SHUKRANI KWA WOTE WALIO ONESHA NIA.

Kuanzia Sasa zoezi la kupokea Cv na Inquiry kuhusiana na Post hizo limefungwa, tunaendelea na kufanya Short Listing. Kuanzia baadae tutawataarifu watakaokuwa wamebahatika kuingia katika round ya mahojiano na kutAmbuana. Nitoe shukrani za Pekee kwa woote walio jitokeza, na ntazidi kuwa consider for further openings. Ila Nimejifunza Kitu Kupitia Uitikio Wenu Ndugu zangu.
 

Mkuu, mbona kimya.
 


Tena? kip icho waweke wazi mkuu..
 
[/color]

Tena? kip icho waweke wazi mkuu..
Wengi tuna Interests za kufanana, tatizo hatujuani, laiti kama ingekuwa rahisi kufahamiana na kuunga nguvu basi jamii yetu ingekomboka kwa kiasi fulani maana Umoja ni nguvu.
 
Wengi tuna Interests za kufanana, tatizo hatujuani, laiti kama ingekuwa rahisi kufahamiana na kuunga nguvu basi jamii yetu ingekomboka kwa kiasi fulani maana Umoja ni nguvu.

Shukran sana, tena ongera kwa kuwa na ideas unique..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…