Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 139
Jamani hapa wilayani MAGU leo kuna upungufu wa magari ya usafiri (kutoka Magu kwenda mwanza) hali ilyopelekea makonda na maDREVA kujipandishia nauli kiholela kutoka Tsh.2000/= hadi Tsh.3000/=
Nashindwa kuelewa mamlaka husika iko wapi? Na hapa stand kuna kituo cha polic na matrafic wapo wanajionea hii issue
nami nimepanda costa imejaza mno na watu bado wanaendelea kuingia tu bila kuzingatia uwezo wa wa gari
na kwa sasa kuna abiria 48.
Nashindwa kuelewa mamlaka husika iko wapi? Na hapa stand kuna kituo cha polic na matrafic wapo wanajionea hii issue
nami nimepanda costa imejaza mno na watu bado wanaendelea kuingia tu bila kuzingatia uwezo wa wa gari
na kwa sasa kuna abiria 48.