Wakuu heshima yenu sana sana,
Nasikia mshahara umetoka na kwamba kuna ongezeko kidogo,
Naomba kujuzwa hilo ongezeko ni la shilingi ngapi ngapi??????
Kuanzia Cheti,Diploma na Degree.
Nawasilisha.
Thanks in Advance.
Waikatae serikali inayo waongezea mshahara?mshahara umetoka..nimemuuliza mdogo wangu ni daktar pale moro...kasema wameongezewa hela ndogo tu...hongeren wafanyakaz mjifunze kuikataa ccm
Wakuu heshima yenu sana sana,
Nasikia mshahara umetoka na kwamba kuna ongezeko kidogo,
Naomba kujuzwa hilo ongezeko ni la shilingi ngapi ngapi??????
Kuanzia Cheti,Diploma na Degree.
Nawasilisha.
Thanks in Advance.
Waikatae serikali inayo waongezea mshahara?
Wife kaongezewa elfu 80+ tu,yeye alikuwa anapata laki 6.5
Waikatae serikali inayo waongezea mshahara?
Waikatae serikali inayo waongezea mshahara?