Sungi
Senior Member
- Apr 29, 2009
- 149
- 47
Ni week iliyopita ambapo Bunge la Kenya lilipitisha ongezeko la posho za wabunge wao. Watapata mshahara wa Ksh. 1.2 milioni (karibu Tsh 120 milioni) na allowance ya Ksh. 851,000 (karibu Tsh 8 milioni) Mishahara mingine iliyopendekezwa kuongezwa ni ya waziri mkuu kshs. 3,246,000 (Tshs. 3 milioni) kwa mwezi, makamu rais kshs. 2,796,000, speaker wa bunge la kenya kshs. 2,796,000 kwa mwezi. Waziri Mkuu Odinga na wabunge wengine wanaelekea kukataa ongezeko hili kwa sababu si haki kwa wananchi wa Kenya ambao ni maskini.
Sasa turudi hapa kwetu Tanzania. Ni mara ngapi wabunge wa nchi yetu wamepiga kura kujiongezea mishahara na posho bila hata ya kufikiria wananchi wa majimbo yao ambao ndio waliochagua kwenda kuwawakilisha bungeni? Mimi nadhani wabunge wa Kenya wakiongozwa na waziri mkuu wao kukataa ongezeko hili ni jambo ya kizalendo linatakiwa kuingwa na wabunge wa Jamuhuri la Muungano wa Tanzania.
Source: Daily Nation
Sasa turudi hapa kwetu Tanzania. Ni mara ngapi wabunge wa nchi yetu wamepiga kura kujiongezea mishahara na posho bila hata ya kufikiria wananchi wa majimbo yao ambao ndio waliochagua kwenda kuwawakilisha bungeni? Mimi nadhani wabunge wa Kenya wakiongozwa na waziri mkuu wao kukataa ongezeko hili ni jambo ya kizalendo linatakiwa kuingwa na wabunge wa Jamuhuri la Muungano wa Tanzania.
Source: Daily Nation