Tetesi: Ongezeko la masharti ukitaka kufungua akaunti ya Benki lazima kuongezea kiapo cha mahakama licha ya kuwa na vitambulisho husika

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Pamoja na kwamba hata kama utakuwa na vitambulisho vyoote husika lakin muhim kuwa na kiapo cha mahakamani kwa taarifa unazotoa wakati wa ufunguzi wa akaunt,

Wakati huo huo akaunt zote ambazo zitaonekana kupitisha hela kubwa kubwa zitachunguzwa na wakibaini hela inapita tu bila kuwa na uthibitisho wa hela zako, akaunt inazuiliwa, na kiasi chenyewe ni zaid ya milion 50 kwa miezi kadhaa
Kwa wafanyakazi wa ENI EMU BII ninyi ni mashahidi wamepokea waraka toka BII OO TII kwamba hakuna mtu ku deposit zaid ya milion 40 bila maelezo zimetoka wapi

Pia kwamba Huruhusiwi kufungua akaunt mbili za aina moja ndani ya benki moja kama ilivyokuwa zamani,

Stay tuned,


Britannica,
 
Ujamaa 💯....
Alijaribu Nyerere alikiona kiti kichungu.....
Pengine itauzia money laundering and those stuffs, Ila kiukwel too much beuracracy has never been a a good indicator for economy growth....
Hapa Kenya na Uganda tutwasikia tu kwenye list za middle class economy....
Tutaburuzika for another good100yrs....
 
Pamoja na kwamba hata kama utakuwa na vitambulisho vyoote husika lakin muhim kuwa na kiapo cha mahakamani kwa taarifa unazotoa wakati wa ufunguzi wa akaunt,

Wakati huo huo akaunt zote ambazo zitaonekana kupitisha hela kubwa kubwa zitachunguzwa na wakibaini hela inapita tu bila kuwa na uthibitisho wa hela zako, akaunt inazuiliwa, na kiasi chenyewe ni zaid ya milion 50 kwa miezi kadhaa

Stay tuned,


Britannica,
Acha tufiche hela zetu chini ya kitanda
 
Mkuu Britannica, asante kwa taarifa hii, kwenye ukweli unaleta za kweli kabisa tena za Moto moto kutoka jikoni, ila pia ni mpishi mzuri, ukiamua kupika, na viungo unavyo pikia, pilau na biriani zitasubiri, kama ile ya kisiwa cha Guam.
P
Mkuu hii ni hatari, ngoja tujiandae kuzitunza ndani,

Ile ya.kisiwa.cha Guam sikuiamini kwanza nikaileta kwa wanajamvi maana watu wa Mambo hayo wapo kupitia majibu yao yamesaidia sana kujua mambo
 
Back
Top Bottom