Utakuwa umechelewa, Leo asubuhi Dar-Mwanza nilikuta Tsh 63,000/= hivi, sasa wewe unataka ya Tsh 32,000 kweni Fastjet imekuwa Najmunisa au Zuberi?
Ila na wewe unajua kuwakomalia umewauliza mpaka ofisini kwao? wee inaelekea ni Mzaramo au ni Mngoni au Mgogo au basi tuamini kuwa wewe ni Mpare
Tangazo liliwekwa kwenye website ya fastjet kwamba kutakuwa na promotion ya 24 hours kuanzia saa 2 asubuhi leo kwa safari zote za ndani kuwa $20 au Tsh. 32,000/= kwa safari za kuanzia tarehe 15-30/September 2014. Hadi muda huu ninapoandika hapa hicho kilichotangazwa hakijatokea. Online booking bado ina bei zilezile za kawaida, wakati huo kwenye website wanasema harakisha tiketi zinakatibia kuisha, lakini ukienda kufanya booking hukuti hiyo bei.
Nimeuliza kwenye ofisi zao hapa DSM kwa simu wanasema hata wao hawajui wamefichwa hawajui kinachoendelea. Huu ni utapeli na tabia hii inasababisha usumbufu kwa wasafiri. Mamlaka zinazohusika ziwachukulie hatua kali kwa kuwadanganya wateja.
Wakuu kwa punguzo hilo kutakuwa na kugombania na tiketi zenyewe ni 1000 tu.Mimi nimewahi kwenye saa mbili na nusu nimeingia kwenye website yao kama walivyoelekeza na kukuta Dar-Mza 32000 plus kodi 45000 one way baadaye kidogo nikanunua tiketi ya pili kwa bei hiyo hiyo.ila naona wanapromote seat za laki mbili na zaidi hivi,ambayo inakuwezesha kufanya mabadiliko yoyote katika safari yako na kubeba mzigo mkubwa.ee kwa hiyo ni kweli ipo hiyo promotion kama itafika hadi kesho saa mbili hilo tena sijui.
Tangazo liliwekwa kwenye website ya fastjet kwamba kutakuwa na promotion ya 24 hours kuanzia saa 2 asubuhi leo kwa safari zote za ndani kuwa $20 au Tsh. 32,000/= kwa safari za kuanzia tarehe 15-30/September 2014. Hadi muda huu ninapoandika hapa hicho kilichotangazwa hakijatokea. Online booking bado ina bei zilezile za kawaida, wakati huo kwenye website wanasema harakisha tiketi zinakatibia kuisha, lakini ukienda kufanya booking hukuti hiyo bei.
Nimeuliza kwenye ofisi zao hapa DSM kwa simu wanasema hata wao hawajui wamefichwa hawajui kinachoendelea. Huu ni utapeli na tabia hii inasababisha usumbufu kwa wasafiri. Mamlaka zinazohusika ziwachukulie hatua kali kwa kuwadanganya wateja.
Acha uongo wewe!. Mza/ Dsm ilikuwa shs 88,000/ nimefanya ununuzi huo online saa mbili na robo asubuhi kwa trip ya tarehe 19 sept
Mi leo mimekata return ticket ya kia tarehe 23 oct kwa shs 90 k
fastjet ipi unayozungumzia?
Wakuu kwa punguzo hilo kutakuwa na kugombania na tiketi zenyewe ni 1000 tu.Mimi nimewahi kwenye saa mbili na nusu nimeingia kwenye website yao kama walivyoelekeza na kukuta Dar-Mza 32000 plus kodi 45000 one way baadaye kidogo nikanunua tiketi ya pili kwa bei hiyo hiyo.ila naona wanapromote seat za laki mbili na zaidi hivi,ambayo inakuwezesha kufanya mabadiliko yoyote katika safari yako na kubeba mzigo mkubwa. kwa hiyo ni kweli ipo hiyo promotion kama itafika hadi kesho saa mbili hilo tena sijui.
Utakuwa umechelewa, Leo asubuhi Dar-Mwanza nilikuta Tsh 63,000/= hivi, sasa wewe unataka ya Tsh 32,000 kweni Fastjet imekuwa Najmunisa au Zuberi?
Ila na wewe unajua kuwakomalia umewauliza mpaka ofisini kwao? wee inaelekea ni Mzaramo au ni Mngoni au Mgogo au basi tuamini kuwa wewe ni Mpare