ivy blue carter
Senior Member
- Jan 10, 2012
- 119
- 27
kuna kipindi kilikuwa kinarushwa na press tv wanaonyesha jinsi hayo mabasi yanavyo fanya kazi majini na nchi kavu nilishangaa sana.
Hebu tusibaki kusema wenzetu wako mbali, hili gari halikutengenezwa na raisi wa nchi..!!! hebu tufunguke; haya ni mawazo ya mtu mmoja, hata wewe ukiamua kufanya kitu inawezekana, chukua hatua...!!!
Gonga hii link uone wenzetu walipo...Cool Amphibious Manufacturers Ie
Cool Amphibious Manufacturers Ie
jamani mbona tunaweza kuruka na ungo au pembe toka longa time.Miaka elfu kumi ijayo tunaweza kufikia huko.
Tutafikia tu huko ngoja jeikei azidi tu kumanufacture more teachers!
Ndugu zangu, kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru wetu mwaka jana pale uwanja wa uhuru, JWTZ walionyesha magari mbalimbali yaliyotengenezwa hapa nchini (Made in Tanzania) ykaitembea na yamebeba shehena; kwa hiyo kuna hatua tumepiga, ni suala la kuongeza pale tulipofika! Tusiwe watu wa kulaumu laumu sana kama vile tumelaaniwa, tuanze kufikiri na tuwe na mawazo chanya! Nchi hii sio ya JK pekee ni yetu sote na kila mmoja wetu ana mchango wake!
Sisi bado tunaagiza hadi sindano