Hebu tusibaki kusema wenzetu wako mbali, hili gari halikutengenezwa na raisi wa nchi..!!! hebu tufunguke; haya ni mawazo ya mtu mmoja, hata wewe ukiamua kufanya kitu inawezekana, chukua hatua...!!!
Hebu tusibaki kusema wenzetu wako mbali, hili gari halikutengenezwa na raisi wa nchi..!!! hebu tufunguke; haya ni mawazo ya mtu mmoja, hata wewe ukiamua kufanya kitu inawezekana, chukua hatua...!!!
Hii ingekuwa kitu ya kawaida sana kama tungetumia vizuri rasilimali zetu. Nashangaa sana tunapowacheka wasukuma waliobadilishiwa almasi kwa golori. Ukiangalia kwa makini utaona ni kama hatuna tofauti.
Hebu tusibaki kusema wenzetu wako mbali, hili gari halikutengenezwa na raisi wa nchi..!!! hebu tufunguke; haya ni mawazo ya mtu mmoja, hata wewe ukiamua kufanya kitu inawezekana, chukua hatua...!!!
Na si lazima wote tutengeneze hayo madubwasha.......wao waache watengeneze tuuuu
Sisi tuna rasilimali nyingi huku zinafujwa tuuu.....if we concentrate seriously na madini tu....i think haya hayatakuwa maajabu kwetu as wao watatengeneza na sisi tutanunua kwa raha zetu
Imagine Petro-dollar wanavyoenjoy technology ambayo wao wala hawana mpango wa kuwa sehemu ya ugunduzi......wamebarikiwa mafuta na humo ndo wanaamka....shinda na kesha.....hawana wanyama but nao wanawavuna kutoka kwetu sie tunalala tu na kushangaaaa. Vyetu tanapoteza huku tukitamani vya wenzetu....shame on us....
Tuweke priority na kusimamia kuona yanakuwa.............kwa kweli inawezekana