Ommba?, Nomma?! nawasalimu Kisonjo cha Loliondo

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
May 15, 2009
7,323
6,810
Jamani naingia mtandaoni kwa salaam ya kisonjo,
Hapo Ommba! nawasalimia wanaume watu wazima na Nomma! kinamama watu wazima....ndicho cha pili nilicho ambulia kwa babu Samunge, Loliondo...
Mengine naamini nanyie wengi mmeenda mwayajua.
 
Na mimi nakukaribisha kisonjo bana tehetehetehe!!!!!!
 
Karibu sana KISIGINO,
Natumaini hujambo,pamoja na ugeni wako lakini naomba kujua jina lako lina maana gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…