Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member May 15, 2009 7,323 6,810 Mar 31, 2011 #1 Jamani naingia mtandaoni kwa salaam ya kisonjo, Hapo Ommba! nawasalimia wanaume watu wazima na Nomma! kinamama watu wazima....ndicho cha pili nilicho ambulia kwa babu Samunge, Loliondo... Mengine naamini nanyie wengi mmeenda mwayajua.
Jamani naingia mtandaoni kwa salaam ya kisonjo, Hapo Ommba! nawasalimia wanaume watu wazima na Nomma! kinamama watu wazima....ndicho cha pili nilicho ambulia kwa babu Samunge, Loliondo... Mengine naamini nanyie wengi mmeenda mwayajua.
Criss JF-Expert Member Mar 19, 2011 858 252 Apr 3, 2011 #5 Na mimi nakukaribisha kisonjo bana tehetehetehe!!!!!!
Mwenzetu JF-Expert Member Dec 16, 2010 550 193 Apr 4, 2011 #8 Karibu sana KISIGINO, Natumaini hujambo,pamoja na ugeni wako lakini naomba kujua jina lako lina maana gani?
Karibu sana KISIGINO, Natumaini hujambo,pamoja na ugeni wako lakini naomba kujua jina lako lina maana gani?