Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Poleni saana watanzania
Ninafuatilia hotuba mbalimbali hapa nimeona kwamba hotuba ya Philip Mangula haijaeleweka ameitwa kutoa pole yeye ana sema msiwe na hofu Makamu ataongoza vizuri tu,
Kwa sasa hatuna makamu pia Rais Mama Samia siyo tena makamu
Alipaswa atoe pole na faraja tu.
Amwshindwa hata kusema raha ya milele umpe eee Bwana.......
Naomba nishauri Mangula apumzishwe tu. Busara zake tutazipata hata akiwa njee ya uongozi
Ninafuatilia hotuba mbalimbali hapa nimeona kwamba hotuba ya Philip Mangula haijaeleweka ameitwa kutoa pole yeye ana sema msiwe na hofu Makamu ataongoza vizuri tu,
Kwa sasa hatuna makamu pia Rais Mama Samia siyo tena makamu
Alipaswa atoe pole na faraja tu.
Amwshindwa hata kusema raha ya milele umpe eee Bwana.......
Naomba nishauri Mangula apumzishwe tu. Busara zake tutazipata hata akiwa njee ya uongozi