Haya mkubwaHili ni jukwaa la wakubwa
Kwanza jifunze umoja na uwingi kisha edit uzi wako usomeke "Ombi langu kwa NACTE".Habari,
Mimi mkazi wa kibosho moshi naomba baraza la ufundi la taifa imchungunze mkuu wa chuo hicho kwa kutoa elimu mbovu chuoni hapo.sitak niongee naomba wizara iingilie kati
Haaaaaaaaaaaaaa aisee umemuweza huyu jamaa sijui kama atarudi tena hapaKwanza jifunze umoja na uwingi kisha edit uzi wako usomeke "Ombi langu kwa NACTE".
Njia za kufikisha maoni yako ziko nyingi sana ambazo ziko effective kuliko hii uliyoitumia.
Kwa haraka haraka ninaweza kuwa na perception ya kuwa umechukuliwa demu au mkuu wa chuo kagonga mkeo ndio maana unataka kumchafua.
Niliposoma kichwa cha thread nilijua ni Wananchi wengi kama si wote wa Kibosho ndio wanatoa hilo ombi kumbe ni wewe tu pekeyako.
NACTE wanasikiliza wazazi au walezi na ukiwa mmoja malalamiko yako hayatakuwai na mashiko. Kajipange upya.
Au kama una nia ya kumharibia JITEKE KAMA BEN SAANANE halafu sisi tutakusaidia kumsingizia kuwa KAKUTEKA
Unajua ww ni popo na hujiewelewi NB.nmesema wafanye uchunguzi nmetoa tuhuma??ningetoa tuhuma ungeniona mchochezi,mm tyr nina degree tang sina shida ndugu ila ile hali sio nzuri,unadhan ukikesha jamii forum ndo unajua matatizo ya watu??usiongee hujui kitu wa popo chunguza ndo uongee popo wewe una akili kama za wana lumumba pimbi wwKwanza jifunze umoja na uwingi kisha edit uzi wako usomeke "Ombi langu kwa NACTE".
Njia za kufikisha maoni yako ziko nyingi sana ambazo ziko effective kuliko hii uliyoitumia.
Kwa haraka haraka ninaweza kuwa na perception ya kuwa umechukuliwa demu au mkuu wa chuo kagonga mkeo ndio maana unataka kumchafua.
Niliposoma kichwa cha thread nilijua ni Wananchi wengi kama si wote wa Kibosho ndio wanatoa hilo ombi kumbe ni wewe tu pekeyako.
NACTE wanasikiliza wazazi au walezi na ukiwa mmoja malalamiko yako hayatakuwai na mashiko. Kajipange upya.
Au kama una nia ya kumharibia JITEKE KAMA BEN SAANANE halafu sisi tutakusaidia kumsingizia kuwa KAKUTEKA
Unajua ww ni popo na hujiewelewi NB.nmesema wafanye uchunguzi nmetoa tuhuma??ningetoa tuhuma ungeniona mchochezi,mm tyr nina degree tang sina shida ndugu ila ile hali sio nzuri,unadhan ukikesha jamii forum ndo unajua matatizo ya watu??usiongee hujui kitu wa popo chunguza ndo uongee popo wewe una akili kama za wana lumumba pimbi ww
Habari,
Mimi mkazi wa Kibosho Moshi naomba baraza la ufundi la taifa imchungunze mkuu wa chuo hicho kwa kutoa elimu mbovu chuoni hapo.
Sitaki niongee naomba wizara iingilie kati.
Unajua ww ni popo na hujiewelewi NB.nmesema wafanye uchunguzi nmetoa tuhuma??ningetoa tuhuma ungeniona mchochezi,mm tyr nina degree tang sina shida ndugu ila ile hali sio nzuri,unadhan ukikesha jamii forum ndo unajua matatizo ya watu??usiongee hujui kitu wa popo chunguza ndo uongee popo wewe una akili kama za wana lumumba pimbi ww
Naunga mkono kampeni ya serikali ya kuvifutia vyuo vya elimu ya juu visivyo na sifa kwa kutoa elimu ya hovyo hovyo, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengi wameathirika na hizi elimu za kijingajingaTatz lako ww ni ccm akili mpaka urudishiwe bado iko kwa mwenyekiti