Ombi la mchango wa ada kwa wenye chenji ya Escrow

Ombi la mchango wa ada kwa wenye chenji ya Escrow

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,665
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka kwanza katika chuo kimoja cha umma hapa nchini-Tanzania.
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii kuwa kuna watu wamepata mchango kutoka kwa wahusika kwa ajili ya mambo ya kitaaluma(shule kusaidiwa) na pia wengine wamepewa mamilioni kwa ajili ya kusaidia kwenye mambo ya kijamii kama harusi na misiba.
Hivyo basi,nami kama mtanzania maskini imeona niache aibu,nijitokeze hadharani kunisaidia.
Mimi sihitaji pesa nyingi sana.Nikipata 5m,nitamaliza masomo yangu vema kabisa.
Kwa yeyote mwenye chenji naomba ani-pm ili tuwasiliane
 
Haya bwana,kuwa huru kujieleza sasa.Mahakama iko mbion kupiga maruuku mjadala wa escrow mtaani na kwenye social media.
 
Haya bwana,kuwa huru kujieleza sasa.Mahakama iko mbion kupiga maruuku mjadala wa escrow mtaani na kwenye social media.
 
We jimilikishe eneo la wazi popote unapo liona nchi hii then ukaombee mkopo usome.
Shtuka chukua chako mapema
 
Leta namba yako ya Voda hapa nikutumie...... Sasahivi nimeishiwa sana, nitakutu;ia 500m tuu maana nataka nikaogelee Brazil hadi nigeuke kua samaki
 
Hahahaa izi ids zingine mnakuja kutua mbavu tu sie et KIUNO CHANGU
 
Last edited by a moderator:
yani hata mm imenichekesha hyo id hadi basi.,sasa hko kiuno cjui kimefanya nn...!!
 
Back
Top Bottom