Ombi la kutafuta kazi

Ombi la kutafuta kazi

Johary Manase

Member
Joined
May 13, 2023
Posts
5
Reaction score
5
Habari zenu,

Naitwa Mary Emanuel Sumari ninaishi Mwanza na nmemaliza chuo kikuu cha SAUT Mwanza 2021 fani ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma.

Nina uhitaji wa kazi yoyote halali. Kwa yoyote atakayenisaidia nitashukuru sana.

Barua pepe yangu ni marysumari2@gmail.com
 
IMG_20230503_141010_410.jpg
 
Tafuta ndugu Dar! Uje upambane huku, Lkn ulishawahi kufanya kazi au ulijenga ujuzi zaidi redio gani huko.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom