pHG
Member
- Jan 23, 2018
- 40
- 18
Habarini wakuu wote wa JF.nawasilisha ombi langu lakuomba kusaidwa kupata PC au desktop computer..kwa jitihada zangu binafsi nimejarbu kutafuta pesa ili niweze kununua imekuwangumu sana kwa sasa na naona itanichukua mda mrefu sana ilikuweza kufanikisha nanina uhitaji nayo mkubwa sana kwa sasa ili kuweza kuifanyia kazi ambayo itakuwa na matokeo chanya sana hapo mbeleni.hivyo kwa yoyote ambae ana computer yake huenda labda haitumii au hana mahitaji nayo sana kwa sasa ningeomba anisaidie.ili niweze kuifanyia kazi niikusudiayo,wanasema mficha maradhi kifo humuumbua ndio maana nimeamua kuwa wazi kwenu wakuu ili niweze kupata msaada wenu
Ni imani yangu kuwa JF inawatu siotu ni smart bali pia ni wakarim.
sitaki kuwaaminisha wana JF kuwa ntaifanyia kazi kubwa ila niwaahidi ntaifanya kazi vyema.
contact : nita m PM yule atakaekuwa tayar kunisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni imani yangu kuwa JF inawatu siotu ni smart bali pia ni wakarim.
sitaki kuwaaminisha wana JF kuwa ntaifanyia kazi kubwa ila niwaahidi ntaifanya kazi vyema.
contact : nita m PM yule atakaekuwa tayar kunisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app