Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Kazi ya Polisi ni kufukuza na kukamata wezi. Mkuu wa Mkoa na Kamamda Kova wanaposema kwamba kuna madaktari wanawatishia wenzao wanaogoma,hili jambo ni bora lingetamkwa na madaktatri waliotishiwa.
Kwa sababu hakuna mtu anayeuchochea mgomo huu. Kusema kwamba wanaogoma watakuwa ''hawana kinga'' kutoka kwa hao waliowachochea ni kupotea kabisa. Hawa madakatari kugoma kwao kunategemea iwepo skeleton crew iendelee kufanya kazi. Kwa nini wawashambulie wenzao wanaofanya kazi.
Huu mgomo unaelekea kuisha lakini yanasemwa maneno[na yanafanyika matendo] haya ambayo yanaleta escalation Kwa nini Chadema wachochee mgomo? Chadema wanapata faida gani wagonjwa vitandani hospitali wakiambiwa mgomo huu unaletwa na Chadema?
Kwa sababu hakuna mtu anayeuchochea mgomo huu. Kusema kwamba wanaogoma watakuwa ''hawana kinga'' kutoka kwa hao waliowachochea ni kupotea kabisa. Hawa madakatari kugoma kwao kunategemea iwepo skeleton crew iendelee kufanya kazi. Kwa nini wawashambulie wenzao wanaofanya kazi.
Huu mgomo unaelekea kuisha lakini yanasemwa maneno[na yanafanyika matendo] haya ambayo yanaleta escalation Kwa nini Chadema wachochee mgomo? Chadema wanapata faida gani wagonjwa vitandani hospitali wakiambiwa mgomo huu unaletwa na Chadema?