mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
I'm sorry ,
Nina changamoto kidogo ya kiuchumi.
MImi ni web developer, ambaye nimepitia ups & down kadhaa katika maisha yangu.
NB:
Physically nina shida kidogo kwenye sikio la kushoto hivyo inahitaji umakini napozungumza na mtu kama hatuonani.
Lengo langu ni kuomba nafasi/kazi ikiwa inawezekana, labda naweza pata mchongo/project ya web application ambayo naweza kufanya mwenyewe mwanzo mwisho au kwa kushirikiana na wengine yenye maslahi hata kama ni madogo lakini nijikwamue maana nategemewa na hali yangu ndo inanipa ugumu wa kupata sehemu niweze kufanya kazi hiyo.
Nimekuwa nikijiendesha.mwenyewe kwa muda mrefu kidogo lakini project chache sana ambazo nilifanikiwa kufanya na nyingi ziliishia njiani kwakuwa watu hawakuwa waaminifu.
Natumia PHP/Laravel, Bootstrap na react, jQuery na JS yenyewe kwa wingi.
kuhusu java na python nimefanya project sio zaidi ya moja
Kuna project hapa ambazo hazikukamilika
github.com/ubongofaidas
Lakini pia kuna project nilifanya kwa matarijio makubwa lakini nahisi delay kwa upande wa serikali inahusiana na local government. Hii ni idea ya mtu ambayo ina usajili lakini mimi ni developer ambaye nasubiri labda ikifanikiwa nipate changu lakini inachukua muda mpaka sasa.
Naweka snapshot hapa ila ukitaka link nitahost na kukupa preview
Kila mtu anaweza pitia changamoto lakini si bora kufa kabla ya kutoa dukuduku lake.
Msaada wenu wadau,
incomplete ui
unaweza checki pia kazi za graphics hapa
Nina changamoto kidogo ya kiuchumi.
MImi ni web developer, ambaye nimepitia ups & down kadhaa katika maisha yangu.
NB:
Physically nina shida kidogo kwenye sikio la kushoto hivyo inahitaji umakini napozungumza na mtu kama hatuonani.
Lengo langu ni kuomba nafasi/kazi ikiwa inawezekana, labda naweza pata mchongo/project ya web application ambayo naweza kufanya mwenyewe mwanzo mwisho au kwa kushirikiana na wengine yenye maslahi hata kama ni madogo lakini nijikwamue maana nategemewa na hali yangu ndo inanipa ugumu wa kupata sehemu niweze kufanya kazi hiyo.
Nimekuwa nikijiendesha.mwenyewe kwa muda mrefu kidogo lakini project chache sana ambazo nilifanikiwa kufanya na nyingi ziliishia njiani kwakuwa watu hawakuwa waaminifu.
Natumia PHP/Laravel, Bootstrap na react, jQuery na JS yenyewe kwa wingi.
kuhusu java na python nimefanya project sio zaidi ya moja
Kuna project hapa ambazo hazikukamilika
github.com/ubongofaidas
Lakini pia kuna project nilifanya kwa matarijio makubwa lakini nahisi delay kwa upande wa serikali inahusiana na local government. Hii ni idea ya mtu ambayo ina usajili lakini mimi ni developer ambaye nasubiri labda ikifanikiwa nipate changu lakini inachukua muda mpaka sasa.
Naweka snapshot hapa ila ukitaka link nitahost na kukupa preview
Attachments
-
File size 187.5 KB Views 1 -
File size 110.3 KB Views 1 -
File size 96.6 KB Views 1 -
File size 85.3 KB Views 1 -
File size 92.5 KB Views 1 -
File size 161.3 KB Views 1 -
File size 106.1 KB Views 1
Kila mtu anaweza pitia changamoto lakini si bora kufa kabla ya kutoa dukuduku lake.
Msaada wenu wadau,
incomplete ui
TANZANIAN TRADITIONAL MEDICINE KNOWLEDGE BASE | TTMKB HOME
ubongofaidas.github.io
KIKOKOTOO-HESLB|MADE WITH LOVE BY MAHENDA
ubongofaidas.github.io
unaweza checki pia kazi za graphics hapa
Login • Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.
www.instagram.com