richaabra JF-Expert Member Jul 12, 2016 1,454 3,469 Sep 24, 2016 #1 Wakuu, nimekuwa nikijiuliza hawa wakuu wanaopangiwa kazi nyingine, huwa bado wanaingiziwa mishahara au husimamishwa. Je, wapo ofisi gani kwa sasa?
Wakuu, nimekuwa nikijiuliza hawa wakuu wanaopangiwa kazi nyingine, huwa bado wanaingiziwa mishahara au husimamishwa. Je, wapo ofisi gani kwa sasa?
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Sep 24, 2016 #2 richaabra said: Wakuu nimwkuwa nikijiuliza hawa wakuu wanaopangiwa kazi nyingine, huwa bado wanaingiziwa mishahara au husimamishwa Je wapo ofisi gani kwa sasa? Click to expand... Wapo kitenge cha kupangiwa kazi nyingine
richaabra said: Wakuu nimwkuwa nikijiuliza hawa wakuu wanaopangiwa kazi nyingine, huwa bado wanaingiziwa mishahara au husimamishwa Je wapo ofisi gani kwa sasa? Click to expand... Wapo kitenge cha kupangiwa kazi nyingine
shimwe JF-Expert Member Jul 20, 2013 213 76 Sep 24, 2016 #4 Wanafikri hii serikali ni undugu undugu kulindana kulindana