Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 243
- 431
- Thread starter
- #21
Usisahau na adha zakeNiliwahi lazwa na Mwanangu., mtoto mzuri kabisa, Akiwa mdogooooo wa mwaka mmoja.
Akilia tu ni njaa, chakula chake ni laktojeni tu,Kunyaa , kumbadili , kumvalisha nguo, kuoga, Dogo akishiba analala, mara analiaa.
Ukitoka kufata chakula, anajua Baba hayupo. Analiaaa, ukirudi hata kabla hujamgusa, keshajua huyu ni Baba, Mpo naye anakuwekea mkono Usoni
Aiseeeee kuna Feeling fulani ya Rahaa nilikua naipata