Omary Mapuri yupo wapi?

Omary Mapuri yupo wapi?

Double Elephants

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
522
Reaction score
465
Wana Jf, hivi ndugu Omary Mapuri aliyekuwa Propagandist wa CCM miaka ya 90 yupo wapi? Na je, mnakumbuka propaganda zake? Mwenye taarifa atujuze.
 
Yupo buguruni mnyamani na Mkama wanapiga deal pale machinjioni....
 
JK alipoingia madarakani alimteua kuwa balozi China baadaye nafasi yake ya ubalozi ilichukuliwa na Marmo, sijui yuko wapi hivi sasa.
 
Daaah Huyu jamaa siku hizi anauza gongo tena maarufu kwa jina la baba ubaya.

Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Haiwezekani. Ina maana amefulia hivyo? Siyo kweli.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka.
 
Ooooh! Kinauche hautaki, we njoo maeneo ya tandale muulize almaarufu baba ubaya yuko wapi watakupeleka.

This is very sad. However, akina Nape wanatakiwa wajifunze from him. Wasidhani kila siku watakuwa kwenye madaraka.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Karibuni amechaguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Zanzibar Dk. Shein kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar
 
Ukiwa na madaraka ndani ya CCM dhamila yako inakuwa imekufa na dhamila ikifa huwezi kujua tofauti kati ya Jema na baya na baada ya hapo maisha yanaweza kukutupa mahali popote
 
mapuri yuko anzibar na amechaguliwa katika tume ya uchaguzi ya Zanzibar zec anaendeleza malengo ya ccm kule
 
Back
Top Bottom