Omari Mwariko nani anamfahamu?

Maishapopote,
Kuna kitabu kinaitwa, ''In Search of Exellence,'' kimeandikwa na waandishi wawili Peters and Waterman.

Hawa walifanya utafiti katika makampuni makubwa duniani ambayo yamefanikiwa kama Apple, Microsoft, Cocacola, Xerox nk.

Katika mambo mengi waliyogundua kwa nini haya makampuni yamefanikiwa ni kuwa yote yanafanya mambo ambayo wanayamudu vyema.

Katika kitabu hiki haya ya mafanikio wameyaeleza katika sura wameipa jina, ''Stick to Knitting.''
Yaani kama wewe ni mshona sweta basi kaa na kazi hiyo uliyo na ujuzi nayo usitake kufungua duka la chips.

Mwariko yeye kipaji chake kikubwa kiko katika uchongaji sasa haya ya siasa ni mammbo mageni kwake na ndiyo maana hakufanikiwa.
 
Thomas Sankara,
Hakika nitakuwa nawafahamu.
Maalim Mohammed Said

Bila shaka nikikutajia majina haya utakuwa unawafahamu wote wazee hawa maarufu pale moshi mtaa wa chini(swahili street na viunga vyake)

1.Liwali Mussa Mwinjanga
2.Sheikh Abdillah
3.Mwalimu Tao
4.Mzee Juma Almas
5.Mwalimu Badi
6.Mzee Madebe
7.Hemedi Abdillah(Matatizo)
8.Seleman Abdillah(kaka selemani)
9.Mwalimu Mahamudu
10.Abdallah Min hajj
11.Mzee Nuru(akiwa muangalizi wa msikiti wa riadha)
12.Sharif Mundhar
Wote washatangulia mbele ya Haq(Allah awarehemu wote)
 
Nawe mdini tu huna lolote
Uzi unataka kuusoma na maneno ya shombo unayo, hebu usituchafulie Uzi Sisi huwezi nenda kwenye majukwaa mengine, ukiona.mtu anaandika neno "mdini" mjini kaja baada ya shule au ndio walewale. Povu ruhusa maana kipo unachokitafuta. Mdini mdini hovyo umelazimishwa kuusoma?
 
Acheni udini karne ya 21
 
Acheni udini karne ya 21
Kolola,
Matatizo haya hukuanza wewe.

Ngoja nikupe kisa ndani ya jopo lililokuwa linaandika historia ya TANU chini ya Chuo Cha CCM Kivukoni mwaka wa 1980/81.

Mmoja wa wanajopo jina lake Hassan Upeka akaleta "notes," za mazungumzo yake na Abdul Sykes kuhusu harakati za kudai uhuru.

Hassan Upeka alikuwa TANU Intelligence toka 1956.

Ikiwa unaijua historia ya Abdul Sykes utaelewa vizuri haya ninayoeleza.

Notes zile zilikuwa na majina ya waasisi wa African Association mwaka wa 1929 - Cecil Matola President, Kleist Sykes Secretary, Ali Said Mpima, Humbi Ziota, Selemani Majisu, Ibrahim Hamisi, Rawkes Kusi, Rawson Watts na Mzee bin Sudi.

Notes zikaeleza kuwa kabla ya kuundwa AA Waafrika walikuwa wakiwakilishwa na Father Gibbons kutoka Minaki Mission.

Baada ya kuunda AA 1933 Kleist na Mzee bin Sudi wakaunda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) na taasisi hizi mbili zilishirikiana kukabiliana na ukoloni.

1950 TAA sasa ikiwa chini ya uongozi wa Abdul Sykes (Secretary) na Dr. Vedasto Kyaruzi (President) ikaunda TAA Political Subcommittee iliyokuwa na wajumbe hawa wafuatao: Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Hamza Mwapachu, Abdul Sykes, Dr. Vedasto Kyaruzi, Steven Mhando na John Rupia.

Notes hizi zilikuwa na mengi kuhusu Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Nyerere na kitu kilichokuwa muhimu ni kuwa Julius Nyerere alipokelewa na Abdul Sykes Dar es Salaam 1952 na kupitia kwake na Nyerere kujulishwa kwa wazalendo waliokuwa pale TAA HQ New Street, Nyerere akatiwa katika uongozi wa juu.

Hiki ni kisa cha kusisimua lakini ni kirefu.

Muhimu hapa ni kuwa Hassan Upeka akanieleza kuwa Mwenyekiti wa Jopo alikataa kupokea document ile.

Kitabu cha historia ya TANU kikachapwa jina la Abdul Sykes halikuwamo, jina la mdogo wake Ally halikuwamo wala jina la baba yao Kleist Sykes aliyeasisi AA mwaka wa 1929.

Niliongea kwa kirefu na Hassan Upeka kuhusu hili na nilichogundua ni hofu ya Uislam iliyoingia ndani ya chama.

Hofu hii bado tunayo na inawaathiri wengi.

 
dunia ina maajabu yake dini ni jambo la imani ni kweli Mohammed angetaka ikiwezekana wote tuwe waislam ingawa haiwezekani hata mimi hapa ningependa wote mfuate imani yangu kwani naona niko sawa hivyo Mohammed yuko sawa kwa anacho Fanya kama kaandika kuhusu waislam tu hao ndio anaowafahamu na wewe andika unaowafahamu lkn siyo kulalamika.
 
Nnangale,
Ahsante.
 
Mzee habari...!

mimi naomba unifafanulie juu ya huyo muasisi mzalendo STEVE MHANDO japo nipate profile yake kwa uchache ama kwa urefu...nitafurahi sana kumfahamu mtu huyo
 
Kwahiyo kupotea kwake ni tatizo la nani?
 
Mzee habari...!

mimi naomba unifafanulie juu ya huyo muasisi mzalendo STEVE MHANDO japo nipate profile yake kwa uchache ama kwa urefu...nitafurahi sana kumfahamu mtu huyo
Prince...
Fanya search hapa hapa JF utakuta kwingi nimemueleza Steven Mhando.
 
Old is Gold
 

Carver, Athumani Omari Mwariko, after an apprenticeship to Elimo Njau, opened his own art gallery, Mwariko's Art Gallery, in 1967 in Moshi, Tanzania. There he showed his own works. When the gallery suffered a fire, he restored it to house a variety of artifacts.

Born in 1944, in Handeni, Tanzania, he studied at Makerere University College School of Fine Arts. He later attended Haystack Mountain School in Maine.

He has exhibited in London, Japan, the United States and East Africa, and has contributed illustrations to numerous publications. Source : Between the Natural and Supernatural
 
Amezeeka lakini bado anaonekana mtundu mtudu
 
Mzee Mohamed Said leo umeamua kutupatia historia za waTanzania wanaofanya vizuri ktk sekta mbalimbali na wanaofaa kukumbukwa na kuenziwa.

Kuna mwana sanaa maarufu wa uchoraji pia anafaa kufahamika:

ARTIST JULIUS NJAU THE GREAT


2012
Julius Njau was born in Marangu, Moshi, Tanzania in 1961. He attended Kilimanjaro Elementary School and Moshi Technical High School, where he also graduated. His career as an artist began when he started painting during a two-year hospital stay after a bad broken leg in 1972. There he was treated by a Finnish radiologist who was the first to encourage him to be artistically active when she bought the necessary material for him and later began to buy his works from him. It was also she who organized his first exhibition in Finland in 1983. The subjects of his early works were closely related to the traditions of his people and wildlife. In 1984 there was a dramatic change in his technique and style as he turned to abstraction. His paintings are based on the interplay of primary colors and the mixture of confused figures. Julius Njau's vast work has been collected by the Prefecture, Osaka and the Museum of Modern Art, Toyama in Japan, the Musem für Völkerkunde, Frankfurt and the gallery ZAK (Contemporary African Art), Furt in Germany, Amos Anderson Gallery, Helsinki in Finland and the 5th British Museum, England. In 2002 Julius Njau received the Nagoya Mayor Prize and in 2003 he was awarded the Grand Prize of the Toyama Prefectural International Competition for the Festival Poster Design "Sukiyaki Meets the World". Julius Njau is one of the founders and the President of Marafiki ...Friendship and art.
Source: Julius Njau
 
28 Apr 2015

Artist Julius Njau Officially Opened Latest News Exhibition Videos Nagoya Japan​

Julius Njau Celebrity Profile - Check out the latest Artist Julius Njau photo gallery, biography, pics, pictures, interviews, news,. on the published Exhibition in 2015 Nagoya Japan The latest Officially Opened The Exhibition Of Artist Julius Njau At Aichi Prefectural Museum Of Arts Located In Nagoya Japan in 2015 With Prefectural Governor Mr Hideaki Omura
Source : Julius Njau

Artist Julius Njau Painting Tribute- Great Exhibition of All Time


Julius Njau è nato nel 1961 a Marangu nel Moshi in Tanazania. Ha frequentato la scuola elementare Kilimanjaro e la scuola media tecnica Moshi preso la quale si è diplomato. La sua carriera di artista inizia nel 1972 quando, costretto a trascorrere due anni in ospedale per una brutta frattura alla gamba, iniziò a dipingere. In quel periodo la sua terapista, una radiologa finlandese, incoraggiò il suo talento mettendogli a disposizione materiali e comprandogli le sue stesse opere. Essa fu poi, nel 1983, l'organizzatrice della sua prima esposizione in Finlandia. Le prime opere erano rappresentazioni, basate sulle tematiche delle tradizioni della sua gente e la fauna selvatica. Il 1984 segna un cambiamento drastico nella sua tecnica e nello stile che approda nell'astratto. I suoi dipinti sono costituiti su giochi di colori e un miscuglio di forme oscure. L'ampio repertorio di opere di Julius Njau è stato acquisito dalla prefettura di Osaka ed il Museo d'Arte Moderna di Toyama in Giappone; Il Museo Etnografico di Francoforte e la Galleria ZAK di Furth in Germania; Galleria Amos Anderson Helsinki in Finlandia e il Quinto British Museum in Inghilterra. Nel 2002 Julius Njau ha ricevuto il Nagoya Mayor's Prize e nel 2003 si è aggiudicato il Gran Premio presso la prefettura di Toyama nell'ambito della competizione internazionale "Sukiyaki Meets the World" Festival del Design del Poster. Julius Njau è fra i membri fondatori e presidente della Marafiki ñAmicizia e Arte.
 
Kolola,
Kila siku nawaandika Waislam kwa kuwa ndiyo jamii nilimozaliwa ndani yake na kukulia.

Hali hii ndiyo iliyotawala maisha yangu kuanzia utoto wangu hadi ukubwani.
Wapuuze wanaosema ni uislam. Kama mtu umekulia kwenye mazingira ya Uislam bila shaka habari na kumbukumbu nyingi zitakuwa kwenye mazingira uliyokulia. Mimi umenifunua kitendawili kimoja. Wakati nikiwa mdogo kabisa napita Moshi mjini nilikuwa naona maandishi ''Mwariko's". Kutokana na udogo wangu sikuweza kujua kwa nini Mwariko's ni maarufu sana. Leo ndiyo nimejua kumbe alikuwa msanii. Asante na usikatishwe tamaa.
 
Macho...
Tuna serikali ina mawaziri 23.

Waislam 3 tu katika Baraza la Mawaziri lakini sijasikia hapa yeyote kusema kitu kuhusu hili.

Mimi naandika kumbukumbu zangu nataja majiina ya Kiislam watu wanakuja juu wananishutumu kwa udini.
Inashangaza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…