[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT]
Shitaka hili liliongezwa leo wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa. Waendesha mashitaka wanadai kuwa utaita [FONT=bookman old style, new york, times, serif] mashahidi 13, akiwepo Mkuu wa mkoa wa Singida, Vicent Parseko Kone ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Simanjiro na viongozi wengine kadhaa wa CCM. [/FONT]
[FONT=bookman old style, new york, times, serif][/FONT][FONT=bookman old style, new york, times, serif].[/FONT]