Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
2010 mgombea wa CDM Ole Kisambu alimpeleka sana Ole Medeye tatizo hakuwa na comitted mawakala ktk maeneo ya Oljoro na Mirongine ambao by saa 7 wengi wao walikuwa washalewa na kama sikosei CDM arumeru Magh ina madiwani 6 means inatawala kata 6 kuanzia kiranyi na tayari CDM ina nguvu huu ukanda wa Nairobi road nguvu ielekezwe upande wa chini wa barabara ya BAbati huko ndo bado ila 2015 hadi Longido CDM inabeba wana hasira na CCM haijawalipa fidia ya mifugo yao ilyokufa ingawa inatangaza imelipa
Kumbukeni Arumeru magh hatutaki Olmekiii tunataka muarusha au Mmasai full stop
Kumbukeni Arumeru magh hatutaki Olmekiii tunataka muarusha au Mmasai full stop