marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 967
- 1,693
Vs Roma..(7-2)
Vs Rb Leipzig..(5-1)..cjui Bila
Vs Southampton..(9-0)
Vs Leeds..(5-1 6-2)
Kamaliza wa 2 kwny league..na lose 6 sawa na champion..
Kafika fainali EUROPA....(tukakaa lkn)....
Hana mbinu...misimu 3 mfululizo..yupo top 3..Hana mbinu huyooo... consecutive away wins..cjui 22 kama cjakosea...HANA MBINU huyo..??.
Sema tu game tukipotea..tunapoteaga mazima hajui kubadilika..ila mbinu anazo...hao mnaowasifia...na mbinu...wote wamemaliza chini yetu msimu ulopita..ukimtoa pep
Alafu mtu Hana mbinu...we huez kua sawa...ninyi tukipigwa mechi moja..mnachanganyikiwa...mnapata hype..(ndo maana tunaitwa nyumbu..)
Fans ninyi mnataka makombe tu..mvimbe.. ndo maana tupo sisi tunaomsifia..Mourinho na van gaal 7bu walitupa makombe...
Ila kiukwel..ole is the most consistent coach since Fergie...
Japokua mm cmkubali na nnataka aondoke..
Vs Rb Leipzig..(5-1)..cjui Bila
Vs Southampton..(9-0)
Vs Leeds..(5-1 6-2)
Kamaliza wa 2 kwny league..na lose 6 sawa na champion..
Kafika fainali EUROPA....(tukakaa lkn)....
Hana mbinu...misimu 3 mfululizo..yupo top 3..Hana mbinu huyooo... consecutive away wins..cjui 22 kama cjakosea...HANA MBINU huyo..??.
Sema tu game tukipotea..tunapoteaga mazima hajui kubadilika..ila mbinu anazo...hao mnaowasifia...na mbinu...wote wamemaliza chini yetu msimu ulopita..ukimtoa pep
Alafu mtu Hana mbinu...we huez kua sawa...ninyi tukipigwa mechi moja..mnachanganyikiwa...mnapata hype..(ndo maana tunaitwa nyumbu..)
Fans ninyi mnataka makombe tu..mvimbe.. ndo maana tupo sisi tunaomsifia..Mourinho na van gaal 7bu walitupa makombe...
Ila kiukwel..ole is the most consistent coach since Fergie...
Japokua mm cmkubali na nnataka aondoke..