so sad. Na mama wa watu hana hata usafiri.wewe umejisikiaje kumpiga tu picha huyo bibi na maiti yake? Labda alikuwa anahitaji msaada wake ndugu.or no free lunch in USA
nilijisikia vibaya na kujaribu kudadisi namna gani ya msaada inahitajika,bahati nzuri ni wenyeji wa eneo lile na ndugu walifika kuchukua maiti.huu ni ujumbe kwa serikali yetu..no ambulance..no mortuaries,ama hakika maisha huko ni kama msumari na nyundo!
Halafu mnawanunulia Tri cycle wajawazito zitasaidia nini?
nisingepiga usingejua haya na kusimuliwa ingekuwa na mapungufu