The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,375
- 13,321
Great grand whatttt ???? the pirates? Kimsingi ndugu yangu babu zako wametenda uovu sana na hayo unayopitia ni malipo yao , chakufanya wewe pambana kuondoa perception hiyo it needs job to built trust ,unaowaita great grand ndio wahusika wakuu kumaliza tembo wetu ,wamedhulumu sana wazungu kwa kuteka meli (pirates) baada ya kuchafua nchi yao kwa useng*/ ndo mtaji wakajitia wafanyabiashara Kenyatta alivyo mjanja akawakaribisha kenya walete madollar ya wizi (dhambi kumbuka familia za walioibiwa zinalia kwa dhulma ya babu zako ) usitafute huruma hapa mimi wajomba zangu wawili waliuliwa na hao great grand paka wakidhani ni polisi wa mbuga kule mikumi na wasomali miaka ya 1980's kumbe maskini walikuwa wawindaji wenye vibali halali wa swala ,kudadadeki waliukwaa mziki wa wachawi wa kikinga wasomali wale walipata vichaa pale morogoro ...wasomali historia yao ni ujambazi,ujangili unyama ,uporaji na kadhalika mimi sijawahi sikia anything other than that ukisema wakongo ntasema wazee wa madini na starehe ,watanzania wazee wa amani ya woga ila wasomali naona mitutu tu ...Our Great grandfathers might have came from Somalia or Ethiopia but in this land we are born and raised and we don’t have any other country than this, but still someone will treat you like a foreigner in your own soil!! we have over 120 tribes in this nation and only one is Disriminated in many ways. We have Yemen’s , Indians, Pakistanis, and many other different origins but being a Somali you will attract too many questions especially in Immigration offices
USHAURI
Huna historia nzuri ni makosa ya wazee wako wazungu wanasema ''crimes doesnt pay in long run '' ndo unayopitia naamini babu yako baada ya kupata pembe zake alienjoy sana ona hasara unayoipata wewe ,ila nikupe moyo baada ya kukuchapa vibao vya ukweli ,your altitude determine your latitude kuzaliwa msomali ni kama kuzaliwa chui hamna kosa ila historia ya binadamu na chui haiwezi kukuacha salama ,chui miaka yote huwala watu wewe ukiamua wawe marafiki nenda taratibu kwani wapu chui wanaishi na wanadamu ...fanya kazi kwa bidiii kuwa muaminifu jiepushe na kazi za utajiri wa haraka (babu zako zile) muombe mungu akusamehe dhambi zao zisiguse maisha yako na akupe kibali machoni mwa watu mungu mwenye rehema atakuepusha na laana zisizokuhusu.MSISITIZO : Wasomali wanapaswa watubu hasa hao unaowapa jina et great grand paka