Hii inawapata sana watu mnaofanya illegal stuffs online, unapokua unavamia torrents, pirate movie sites au kutumia flash za watu mara kwa mara, alafu unatumia windows na hauna protection yoyote ile basi una matatizo.
Pitia google nadhani utapata njia ya kudecrypt, lazima kuna antivirus company itakua ime-reverse engineer kujua encryption algorithm wanayotumia hawa jamaa na kujaribu ku-decrypt. Pole sana kwa yaliyo kukuta, ningekua ni wewe ningeformat kila kitu na kuanza tu upya.