Ofisi za CUF zachomwa moto.

Ofisi za CUF zachomwa moto.

Void ab initio

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
5,723
Reaction score
5,662
Ofisi za CUF katika jimbo la Mjini Magharibi huko Zanzibar zachomwa moto.

Chanzo;Channel Ten.
 
Kama ni kweli basi huko Zenj lazima kinuke; Magamba wako desperate kwani CUF wamewashika pabaya!!!
 
Sijui hawa ccm na ACT wanataka kutupeleka wapi.?mungu atulinde na hvi vyama vya kigaidi.
 
Back
Top Bottom