Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
Serikali imeaza kuichezea ofisi ya audit general kwa kutoa fedha kiduchu kwa mradi wa kazi ya ukaguzi wa ofisi hii muhimu kuliko ofisi yoyote katika nchi hii.
Katika kipindi cha mwaka 2014 - 2015 ofisi hii imepata 60% tu ya budget yake.Tabia hii inatokea baada ya aliyekuwa Auditor General kustaafu ndg.Utouh.
Wafuatiliaji wanasema hii ni hatari sana kwani inaonekana AG ananyimwa fedha ili asiende field kwani ofisi hii ipo kwa mujibu wa sheria na ni hatari kwa usalama wa nchi endapo ofisi hii ambayo ndio macho ya bunge letu kutokuwa na fedha.
Serikali hii ya CCM wanatumia kila njia kunyamazisha vyombo vinakuza uwajibikaji na uwazi kwenye nchi maana kwao TUNU hizo ni gonjwa hatari la ebola.
Katika kipindi cha mwaka 2014 - 2015 ofisi hii imepata 60% tu ya budget yake.Tabia hii inatokea baada ya aliyekuwa Auditor General kustaafu ndg.Utouh.
Wafuatiliaji wanasema hii ni hatari sana kwani inaonekana AG ananyimwa fedha ili asiende field kwani ofisi hii ipo kwa mujibu wa sheria na ni hatari kwa usalama wa nchi endapo ofisi hii ambayo ndio macho ya bunge letu kutokuwa na fedha.
Serikali hii ya CCM wanatumia kila njia kunyamazisha vyombo vinakuza uwajibikaji na uwazi kwenye nchi maana kwao TUNU hizo ni gonjwa hatari la ebola.