Ofisi inauzwa

Ofisi inauzwa

gerryfoyaa

Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
12
Reaction score
4
In ofisi inayojishughulisha na shughuli za UPEPO kama vile kuunga pancha, kupuliza Magari ndani na kenye injini, n.k .
Ofisi ni ya muda mrefu na inajulikana, kuna umeme wa kujitegemea
Ofisi iko nzovwe mkoani mbeya
kwa maelezo zaid wasiliana nami kwa namba 0684554946

1473083994648.jpg
1473084006975.jpg
1473084029306.jpg
1473084051105.jpg
 
Elezea samani zilizomo au ndo hayo matairi used, sema kuna hiki kile daah
Kuna compressor Lita 500 piston 3 bomba Nene, grenda mbili moja inatumia UPEPO na moja inatumia umeme, mashine yakubomolea matairi, tire river pair mbili, hydraulic jack mbili, pipe mbili za ways moja Nene mita 25, na moja nyembamba mita 25, gauge mbili za maji umeme wakujitegemea kutoka tanesco, tool box lenye spana tofauti za kufanyia kazi. Nk.

Nathani umenipata mkuu
 
Back
Top Bottom