msamehe bure,huyu ni kati ya wale watu wenye matatizo ya R na L....yeye mwenyewe anaitwa
Akiri,
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza )
Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano
2 ni kwa
ajiri ya ofisi
1
flem
1 store na choo
vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa vya
kukaria pamoja na meza na
shelf.*** ila hapa hajasema sherf
maji yapo pia kuna tank la
lita 1000 **
na hapa hajasema rita
compound inatosha kuegesha
magari 15 - 20 kwa wakati mmoja **na hapo hajasema magali
bei 1.5m kwa mwezi .