Salam wakuu.
Kama kuna mtu anahitaji kutengenezewa website safi ya kisasa na inayofunguka kirahisi kwenye simu(responsive) kwa bei cheap ya tsh 120,000/= tu niibox tufanye kazi.
Hiyo gharama inajumuisha:
1.Web hosting mwaka mzima (ambayo kwingine utalipia zaidi ya laki)
2. Domain name registration fee (kusajili jina la saiti yako ICANN)
3. Web design- kazi yenyewe ya kudesign saiti (gharama ya kudesign)
4. Premium theme. Tunatumia theme za kisasa zinazoruhusu kudesign full width website na ambayo tumeshalipia.
5. Website blog yake.
6. maintenance mara kwa mara
Mfano tembelea hapa
www.heritagesafaristanzania.com