Pole sana mkuu, napitia changamoto kama hii yani kwangu ni severe haswaa iko mixed na health anxiety disorder, naona watu wanakudhihaki hapa ila hawajui kua ni ugonjwa mbaya sana na ndo maana mara nyingi nashindwa hata kuwaeleza watu kwasababu wanaishia kudhihaki tu, nipo kwenye stage ambayo hata kutoka chumbani ni changamoto kila kitu naona kipo contaminated nje ya chumba, ningependa kujua umepata solution gani hadi sasa inaweza kunisaidia na mimi